Baadhi ya wanawake kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika maadhimisho ya siku Wanawake Duniani wakiwa Wilaya ya Kongwa mkoa wa Dododma jana tarehe 8 Machi 2025,ambapo kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni "Haki kwa Wanawake na Wasichana: Msingi wa Maendeleo Jumuishi Kufikia Dira 2050"
Baadhi ya wanawake kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika maadhimisho ya siku Wanawake Duniani wakiwa Wilaya ya Kongwa mkoa wa Dododma jana tarehe 8 Machi 2025,ambapo kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni "Haki kwa Wanawake na Wasichana: Msingi wa Maendeleo Jumuishi Kufikia Dira 2050"
Msajili wa Vyama vya Siasa, Mheshimiwa Jaji Francis Mutungi amefanya mazungumzo ya kikazi na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camilius Wambura leo Tarehe 02 February, 2026 katika Ofisi ya IGP jijini Dar es Salaam.
Pichani ni baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wa Wilaya ya Mbarali wakifuatilia mafunzo ya Maadili ya Uchaguzi na Vitendo Vinavyokatazwa na Sheria ya Vyama vya Siasa pamoja na Sheria ya Gharama za Uchaguzi yaliyokuwa yakitolewa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa. Mafunzo hayo yalifanyika leo tarehe 3 Septemba 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Francis Mutungi akizungumza na washiriki wakati wa mafunzo kuhusu Sheria ya Gharama za Uchaguzi kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa yaliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, leo tarehe 18 Agosti 2025.
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, akiambatana na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Mohamed Ali Ahmed, leo jijini Dar es Salaam amekutana na Mwenyekiti wa Misheni ya Awali ya Uangalizi wa Uchaguzi ya SEAC,mheshimiwa Jennifer Chiriga.
Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis S. K. Mutungi atembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba leo tarehe 5 Julai 2025 jijini Dar es Salaam.
Msajili wa Vyama vya Siasa (RPP), Mhe. Jaji Francis Mutungi akifungua Mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa ulioandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) uliofanyika leo tarehe 2 Juni, 2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Multifunctional – Confusious
Baadhi ya watumishi wa ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa wakiendelea na zoezi la uhakiki katika ofisi ndogo ya chama cha TLP kilichopo kata ya Fuoni wilaya ya Magharibi B,Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar tarehe 21 Mei 2025.
Katika picha ni watumishi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wakiongozwa na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Ndg. Sisty Nyahoza, pamoja na viongozi wa Chama cha ADC mara baada ya kumaliza Zoezi la Uhakiki katika ofisi ndogo za ADC Zanzibar.