Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini watakiwa kuzingatia Sheria na Katiba za nchi sambamba na kuzingatia kanuni na miongozo iliyopo katika Katiba za vyama vyao ili kuepuka migogoro miongoni mwao. Soma zaidi..
Karibu kwenye tovuti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa . Kupitia tovuti hii, utapata taarifa za uhakika juu ya shughuli za Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini na taarifa za uhakika juu ya Vyama vya Siasa.
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imejikita katika usimamizi wa Sheria ya Vyama vya Siasa Na 5 ya mwaka 1992 na Sheria ya Gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 ili kuhakikisha uwepo na ukuaji wa demokrasia ya vyama vingi nchini.
Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini watakiwa kuzingatia Sheria na Katiba za nchi sambamba na kuzingatia kanuni na miongozo iliyopo katika Katiba za vyama vyao ili kuepuka migogoro miongoni mwao. Soma zaidi..
The Political Parties Council (PPC) has issued a resolute call for political leaders and parties to prioritise peace, stability and ethical practices, as Tanzania prepares for the October 2025 General Elections. Soma zaidi..
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametoa pongezi kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kudumisha Demokrasia nchini. Soma zaidi..
Jaji Francis Mutungi anasikitika kutangaza kifo cha Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu John Bill Tendwa Soma zaidi..