• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Tanzania Census 2022
  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Orodha ya Vyama Vya Siasa
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
    • Fomu za Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Nafasi za kazi
    • Zabuni
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

Ruzuku ya Serikali

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ndio yenye jukumu la kugawa ruzuku ya kila mwezi kwa vyama vya siasa vyenye sifa kwa mujibu wa Sheria.

Ruzuku ya vyama vya siasa ni fedha zinazotolewa na Serikali kwa vyama vya siasa kwa ajili ya kusaidia shughuli za uendeshaji wa vyama hivyo. Vyama vinavyopata ruzuku ni vile vilivyopata angalau asilimia tano ya kura zote halali zilizopigwa katika Uchaguzi Mkuu na vyama vyenye Wabunge au Madiwani.

Kigezo kinachotumika ili chama kiweze kupata ruzuku ni kuangalia matokeo ya uchaguzi kuona kama chama kimepata asilimia tano ya kura au kama chama kimeshinda nafasi za ubunge au udiwani, kama ilivyoainishwa katika kifungu cha 16 cha Sheria ya Vyama vya Siasa, namba 5 ya mwaka 1992.

Chama kinachopata ruzuku kinaweza kupoteza sifa ya kupata Ruzuku iwapo kitapoteza kwa namna yoyote ile mbunge au diwani anayepelekea chama hicho kupata ruzuku. Pia chama kitapoteza sifa iwapo kitafutiwa usajili wake wa kudumu. Chama kikipoteza sifa ya kupata ruzuku kitaondolewa kwenye orodha ya kupata ruzuku.

Habari

  • Rais Samia Awapa Kongole Kikosi Kazi, Aahidi Kufanyiwa Kazi Mapendekezo
    tokea miezi 5
  • RAMBIRAMBI
    tokea miezi 7
  • Wadau Waalikwa Kutoa Maoni Kikosi Kazi cha Rais
    tokea miezi 11
  • Vyama vya Siasa Kuendeleza Ushirikiano na Serikali, Vyawapongeza Rais Samia, Dkt. Mwinyi
    tokea mwaka 1

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Utaratibu wa Usajili wa Vyama vya Siasa
  • ORODHA YA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA
  • Awamu ya Pili ya Ukusanyaji wa Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa
  • Ratiba ya ukusanyaji wa Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa
  • Marufuku mtu yoyote au taasisi kutumia jina, nembo, rangi na alama ya chama cha siasa cha "Umoja Party" hadi mchakato wa kupata usajili wa muda utakapo kamilika.

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma
  • Simu : +255 26 23322500
  • Nukushi : +255 26 2323525
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • eOffice
  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo