• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Orodha ya Vyama Vya Siasa
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
    • Fomu za Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Nafasi za kazi
    • Zabuni
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.

Na: Mwandishi Wetu, ORPP.

Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini watakiwa kuzingatia Sheria na Katiba za nchi sambamba na kuzingatia kanuni na miongozo iliyopo katika Katiba za vyama vyao ili kuepuka migogoro miongoni mwao.

Wito huo umetolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa(RPP), Jaji Francis Mutungi alipokuwa akitoa salama zake mbele ya wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa wakati wa ufunguzi wa kikao cha baraza hilo kinachofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Nashera Hoteli Manispaa ya Morogoro leo tarehe 14 Mei 2025.

Akizungumza katika kikao hicho Jaji Mutungi amewataka wajumbe wa Baraza la vyama vya siasa nchini kuhakikisha wanazingatia Sheria za nchi, Kanuni na Katiba za vyama vyao ili kuepuka migogoro na migongano ya kisiasa ambayo husababisha kuwepo kwa hali mbaya ya kisiasa nchini.

Aliongeza kuwa wanachama wa vyama vya siasa wanawajibu wa kuzingatia sheria za nchi kanuni na katiba za vyama vyao ili kuhakikisha wanafanya yaliyo sahihi ili kuondokana na migogoro ndani ya vyama na kuhakikisha maendeleo yanafanyika ndani ya chama na nje ya chama.

".Nawasihi mzingatie Sheria za nchi, mzingatie katiba za vyama vyenu na sheria zinazosimamiwa na Baraza la vyama vya siasa.." ameisisitiza Jaji Mutungi.

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kupitia Baraza la Vyama vya siasa imeandaa kikao cha siku mbili cha kawaida cha baraza hilo kuanzia tarehe 14 – 15 Mei, 2025, ambapo pamoja na agenda za kawaida wajumbe wanapata fursa ya kujengewa uelewa katika masuala ya ulinzi wa taarifa binafsi iliyotolewa na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) na namna ya kuanzisha sera za jinsia na uendeshaji wa dawati la jinsia katika vyama vyao itakayotolewa na taasisi ya WiLDAF.

Habari

  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.
    tokea wiki 2
  • Political Parties Council Urges Ethical Campaigning, Applauds Government’s Gender Initiatives
    tokea miezi 2
  • Msajili Aipongeza CHADEMA kwa Kuonesha Ukomavu wa Demokrasia Nchini
    tokea miezi 4
  • Tanzia
    tokea miezi 5

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Msimamo wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa dhidi ya CHADEMA
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • THE POLITICAL PARTIES AFFAIRS LAWS (AMENDMENT) ACT, 2024
  • ORODHA YA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA 2025

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma
  • Simu : +255 26 23322500
  • Nukushi : +255 26 2323525
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • eOffice
  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • e-Mrejesho
  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo