• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Orodha ya Vyama Vya Siasa
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
    • Fomu za Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Nafasi za kazi
    • Zabuni
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

WAZIRI WA NCHI AVITAKA VYAMA VYA SIASA KUFUATA SHERIA ZA NCHI

Vyama vya siasa nchini vimetakiwa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa katika kudai haki katika masuala mbalimbali nchini ili kujiondoa katika matatizo yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha amani ya nchi.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, (Sera, Bunge, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama wakati akitoa ufafanuzi juu ya hoja za wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ziliyojitokeza wakati wa kujadili taarifa ya utekelezaji wa bajeti 2017/2018 na makadirio ya bajeti ya mwaka 2018/2019 ya mafungu ya taasisi zinazosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu ikiwemo Ofisi ya Msajii wa Vyama vya Siasa nchini, Leo Machi 28,2018 katika ukumbi wa mikutano Bungeni Dodoma.

“Kila raia anatakiwa kufuata na kutekeleza matakwa ya sheriana taratibu zilizowekwa na nchi ili kujiondoa katika matatizo ambayo yanayoweza kujitokeza kutokana na ukiukwaji wa sheria, tujenge tabia ya utii wa sheria bila shuruti” amesisitiza Mhe Mgahama

Wakati wa majadiliano ilibainika kuwa vipo baadhi ya vyama vya siasa ambayo vimeonyesha kwa wazi kabisa vikiwa katika hali ya kuvilazimisha vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua za kisheria na kisha vyama hivyo hivyo hurudi kuilaumu Serikali.

Aidha, Mhagama amefafanua kuwa hoja zilizohusisha mgogoro wa ruzuku na uongozi wa Chama cha Wananchi CUF, maandamano, migogoro ya vyama vya siasa na hoja zote ambazo kuna kesi makahamani, kuachwa bila kujadiliwa kwa kuwa kuzijadili hoja hizo kunaweza kuharibu mwenendo wa kesi.

Mhe. Mhagama ametoa wito kwa vyama vyote nchinikufuata utaratibu wa mahakamawa kukata rufaa endapo vitaona haki haijatendeka .

Ikumbukwe siku za hivi karibuni kumeibuka tabia ya baadhi ya vyama vya siasa nchini vimeshindwa kufuata sheria na taratibu za nchi na kupelekea vitendo vinavyoashiria uvunjifu wa amani, kitendo ambacho kimepelekea matendo ya uvunjifu wa amani.

Habari

  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.
    tokea mwezi 1
  • Political Parties Council Urges Ethical Campaigning, Applauds Government’s Gender Initiatives
    tokea miezi 3
  • Msajili Aipongeza CHADEMA kwa Kuonesha Ukomavu wa Demokrasia Nchini
    tokea miezi 5
  • Tanzia
    tokea miezi 6

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Msimamo wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa dhidi ya CHADEMA
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • THE POLITICAL PARTIES AFFAIRS LAWS (AMENDMENT) ACT, 2024
  • ORODHA YA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA 2025

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma
  • Simu : +255 26 23322500
  • Nukushi : +255 26 2323525
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • eOffice
  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • e-Mrejesho
  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo