• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Tanzania Census 2022
  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Orodha ya Vyama Vya Siasa
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
    • Fomu za Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Nafasi za kazi
    • Zabuni
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

KAMATI YA UONGOZI WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA YAKUTANA

Kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa kimefanyika leo Disemba 4, 2018 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Jijini Dar es Salaam, ikiwa ni maandalizi ya kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kinachotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.

Akizungumzia agenda za kikao, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Bw.John Magale Shibuda amesema kuwa kikao hicho kitakuwa na ajenda ya kujadili muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2018 na uchaguzi wa Viongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa.

Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa inaundwa na Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wenyeviti na Makamu wenyeviti wa kamati nne za Baraza la Vyama vya Siasa.

Habari

  • Rais Samia Awapa Kongole Kikosi Kazi, Aahidi Kufanyiwa Kazi Mapendekezo
    tokea mwaka 1
  • RAMBIRAMBI
    tokea mwaka 1
  • Wadau Waalikwa Kutoa Maoni Kikosi Kazi cha Rais
    tokea mwaka 1
  • Vyama vya Siasa Kuendeleza Ushirikiano na Serikali, Vyawapongeza Rais Samia, Dkt. Mwinyi
    tokea miaka 2

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Muundo wa ORPP
  • MUUNDO WA OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
  • UTARATIBU WA USAJILI WA VYAMA VYA SIASA
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA ZA MWAKA 2023
  • Utaratibu wa Usajili wa Vyama vya Siasa

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma
  • Simu : +255 26 23322500
  • Nukushi : +255 26 2323525
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • eOffice
  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo