Wasifu
Chama
Alliance for African Farmers Party (AAFP)
:
Mr. Rashid Ligania Rai
Katibu Mkuu
Historia ya Kazi
| Kampuni/Taasisi | Nafasi | Tangu | Mpaka |
|---|---|---|---|
| BARAZA LA VYAMA VYA SIASA | Mjumbe wa Kamati za Kisekta ya Sheria, Katiba na Utawala Bora ya Baraza la Vyama Vya Siasa | 2015 | 2026 |
| BARAZA LA VYAMA VYA SIASA | Mjumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa. Tanzania | 2009 | 2026 |
| BARAZA LA VYAMA VYA SIASA | Mjumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa. Tanzania | 2009 | 2026 |
| TAMADA | mwenyekiti wa wafanyabiashara wadogo wadogo wa Mitumba Wilaya ya Temeke kupitia TAMADA. | 2000 | 2009 |
| AAFP | Mwanachama mwanzilishi na Katibu Mkuu Taifa Chama cha AAFP | 2006 | 2026 |
| AAFP | Mwanachama mwanzilishi na Katibu Mkuu Taifa Chama cha AAFP | 2006 | 2026 |
| DP | Mkurugenzi wa Vijana na Uchaguzi DP Taifa. | 2003 | 2006 |
| TLP | Katibu wa Wilaya TLP Wilaya ya Temeke. | 1997 | 2002 |
| TLP | Katibu wa Kata TLP Kata ya Tandika | 1995 | 997 |
| NCCR MAGEUZI | Katibu wa Tawi la Tandika. | 1993 | 1995 |