• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Orodha ya Vyama Vya Siasa
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
    • Fomu za Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Nafasi za kazi
    • Zabuni
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

Watumishi ORPP Wakumbushwa Matumizi Sahihi ya Vifaa vya TEHAMA

Na: Mwandishi Wetu, ORPP

Watumishi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa vya TEHAMA na kuwa makini wanapokuwa katika mitandao ya kijamii ili kuhakikisha wanalinda unyeti wa ofisi hiyo.

Rai hiyo imetolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi wakati akifungua mafunzo ya TEHAMA Juu ya Matumizi Bora , Sahihi na Usalama wa Vifaa, Data na Mifumo ya TEHAMA Serikalini leo jijini Dodoma.

“ Inawezekana kabisa kwamba baadhi ya watumishi wakachukulia kuwa mafunzo haya ni ya kawaida lakini niseme tu kuwa mafunzo haya ni msingi imara na silaha ya usalama wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.” Alisema Jaji Mutungi.

Aidha Jaji Mutungi aliongeza kuwa mafunzo haya ni utekelezaji wa Sera ya TEHAMA na Sera ya Usalama wa TEHAMA ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambapolengo la kuu ni kuhakikisha tunalinda usalama wa taarifa zote dhidi ya mashambulizi kutoka ndani na nje ya Taasisi yanayoweza kujitokeza aidha kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Aliongeza kuwa kutokana na umuhimu huo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kupitia Kitengo cha Habari, Mawasiliano, Teknolojia na Takwimu (ICT &Statistic Unit iliona ipo haja ya kuwajengea uwezo watumishi wake ili kujiweka tayari kukabiliana na changamoto za matumizi ya vifaa vya Tehama na mitandao.

Mafunzo haya ya siku mbili ambayo yanashirikisha watumishi wote wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa yanafanyika kuanzia leo tarehe 24 na 25 Januari 2024 katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Habari

  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.
    tokea mwezi 1
  • Political Parties Council Urges Ethical Campaigning, Applauds Government’s Gender Initiatives
    tokea miezi 3
  • Msajili Aipongeza CHADEMA kwa Kuonesha Ukomavu wa Demokrasia Nchini
    tokea miezi 5
  • Tanzia
    tokea miezi 6

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Msimamo wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa dhidi ya CHADEMA
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • THE POLITICAL PARTIES AFFAIRS LAWS (AMENDMENT) ACT, 2024
  • ORODHA YA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA 2025

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma
  • Simu : +255 26 23322500
  • Nukushi : +255 26 2323525
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • eOffice
  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • e-Mrejesho
  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo