• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Zabuni
    • Nafasi za kazi
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

SUALA LA KUSIMAMIA VYAMA VYA SIASA LINAHITAJI UAMINIFU NA UADILIFU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Haruna Suleman amesema kuwa Suala la kusimamia vyama vya siasa nchini linahitaji umakini na usimamizi wa hali ya juu ikiwa ni njia bora ya kukuza democrasia na utawala bora nchini.

Hayo ameyabanishwa siku ya Ijumaa, Novemba 30, 2018 wakati akizungumza na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe. Mohammed Ally Ahmed aliyefika kwa mara ya kwanza Ofisini kwake Mazizini Mjini Zanzibar kwa lengo la kujitambulisha baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Jombe Magufuli mapema mwaka huu.

Mhe. Ahmed ambaye ameahidi ushirikiano na taasisi zote za Sheria nchini,pia ametumia fursa hiyo kukabidhi nakala ya Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa 2018 iliyosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni Dodoma, Novemba 16 mwaka huu kwa waziri huyo ambaye ni mojawapo wa wadau wa Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.

Habari

  • WANASIASA WAACHE PROPAGANDA, WAUSOME VIZURI MUSWADA
    11 months ago
  • KIKAO CHA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA CHA TAREHE 21 NA 22 DESEMBA, 2018 KIMEAHIRISHWA
    11 months ago
  • KAMATI YA UONGOZI WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA YAKUTANA
    1 year ago
  • SUALA LA KUSIMAMIA VYAMA VYA SIASA LINAHITAJI UAMINIFU NA UADILIFU
    1 year ago

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Orodha ya Vyama vya Siasa mpaka Juni 2019
  • Gharama za Uchaguzi
  • Fomu za Usajili wa vyama PP.14
  • Fomu za Usajili wa Vyama PP.17
  • Fomu za Usajili wa Vyama PP.16

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : 63010
  • Simu : +255 22 213 7232
  • Nukushi : +255 22 213 6924
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo