• English
  • Staff Mail
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

  • Kuhusu sisi
    • Mamlaka
    • Dira
    • Majukumu
    • Muundo
    • Uongozi
    • Historia
  • Shughuli za Ofisi
    • Usajili wa Vyama
    • Uratibu wa Vyama
    • Ufuatiliaji wa Vyama
    • Gharama za Uchaguzi
    • Ruzuku ya Vyama
    • Utatuzi wa Migogoro
    • Taarifa za Vyama vya Siasa
  • Vyama vya Siasa
    • Usajili wa Kudumu
    • Usajili wa Muda
    • Orodha ya Vyama Vya Siasa
    • Baraza la Vyama
  • Sheria na Machapisho
    • Katiba
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu EE
    • Fomu PP
    • Fomu za Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Matangazo
    • Mikutano
    • Warsha
    • Nafasi za kazi
    • Zabuni
  • Ziara
    • Taratibu za Ziara
    • Fomu ya Maombi
    • Utimilifu na Makatazo
    • Maoni ya Watembeleaji

Habari

BARAZA LA WAFANYAKAZI LAKUTANA

Kikao cha Baraza la Wafanyakazi katika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kimefanyika leo siku ya Alhamisi Mei 18, 2018 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria Jijini Dara es salaam.

MAJALIWA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA UONGOZI YA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa vyama vya siasa wajitahidi kuwa makini na namna wanavyoendesha vyama vyao kwasababu wananchi wanaowaongoza ni wa vyama vyote.

WAZIRI WA NCHI AVITAKA VYAMA VYA SIASA KUFUATA SHERIA ZA NCHI

Vyama vya siasa nchini vimetakiwa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa katika kudai haki katika masuala mbalimbali nchini ili kujiondoa katika matatizo yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha amani ya nchi.

KAMATI YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI YAMSHAURI MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUMALIZA MGOGOGO WA CUF

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imeishauri Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, kuchukua jitihada za kutosha kusuluhisha migogoro katika Chama cha Wananchi CUF ili kuepusha athari kubwa zinazoweza kujitokeza katika Muungano.

JAJI MUTUNGI ATOA SALAMU ZA POLE KWA FAMILIA YA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

​Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Mhe. Jaji Francis S. K Mutungi leo amefika nyumbani kwa kaka wa Marehemu Peter Kuga Mziray aliyefariki jana katika hospitali ya Rabininsia Tegeta Jijini Dar es Salaam, na kuwapa pole ndugu, jamaa na marafiki waliofika katika msiba huo.

Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa

Mkutano wa kawaida

  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ›

Habari

  • ZINGATIENI SHERIA, KATIBA NA KANUNI YA VYAMA VYENU - MUTUNGI.
    tokea mwezi 1
  • Political Parties Council Urges Ethical Campaigning, Applauds Government’s Gender Initiatives
    tokea miezi 3
  • Msajili Aipongeza CHADEMA kwa Kuonesha Ukomavu wa Demokrasia Nchini
    tokea miezi 5
  • Tanzia
    tokea miezi 6

Nifanyaje...

  • Kusajili Chama cha Siasa?

Machapisho

  • Taarifa kwa Umma Kuhusu Msimamo wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa dhidi ya CHADEMA
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • KANUNI ZA KURATIBU MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA YA MWAKA 2023
  • THE POLITICAL PARTIES AFFAIRS LAWS (AMENDMENT) ACT, 2024
  • ORODHA YA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA 2025

Wasiliana Nasi

  • S.L.P : S.L.P 2851 Dodoma
  • Simu : +255 26 23322500
  • Nukushi : +255 26 2323525
  • Barua Pepe : info@orpp.go.tz
  • Website :https://www.orpp.go.tz

Kurasa za Karibu

  • eOffice
  • Video Mpya
  • Staff Mail
  • Huduma Zetu
  • Vyama Vya Siasa

Tovuti Mashuhuri

  • e-Mrejesho
  • Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tume ya Uchaguzi

Mitandao ya Kijamii

© 2017 Office of Registrar of Political Parties - All Rights Reserved

  • Ramani Ya Tovuti
  • Sera YA Faragha
  • Angalizo